Hivi Ndivyo Wolper Alivyouzungumzia Wimbo Mpya wa Harmonize

Kwa habari motomoto,
Movie mpyaaa!!
au Comedy za kufa mtu!!
Tafadhali comment kisha weka namba yako
TANGAZO
Mapenzi yanapoisha na uhusiano 
kuvunjika huwa inaumiza na hiyo
 inapelekea wengine kuwekeana 
kinyongo, kutosalimiana au 
kutotaka kabisa hata kumsikia 
mwenzake.Wolper aliwahi kusema  
kwamba huwa hapendi kumkumbuka
 na kumpa nafasi Mwanaume 
alieachana nae haswa Mwanaume 
aliempenda kisawasawa ila 
inaonekana sasa hivi maumivu 
yameondoka na hana kinyongo 
na Harmonize.Saa kadhaa zilizopita
 alitumia Instagram yake kuusifia 
huo wimbo kwa kuandika “Haka ka 
nyimbo kazurii sana na video pia 
ndio usiseme, bwana Raaaaaj umejua
 kunyoosha, kama bado hujaangalia
 video ya haka ka wimbo pita kwenye 
bio ya @Harmonize_tz #
uliemchokozakaja #shulala
 #NaukinibipuTuNakupigia” 

TANGAZO


Emoticon Emoticon

Copyright © 2017 Best Kesha Tv - Thank . You For . Visting .